Huyu mwanamke inapoelekea nitampiga nifungwe bure

Huyu mwanamke inapoelekea nitampiga nifungwe bure

Vijana kila leo hapa nawaambia kuwa mwanamke hapendi anaangalia life bado hawapati somo.
Hatari saana...huyu akamwonyesha kabisa anaweza kumlisha na familia na hata huyu mwanamke sidhani kama alijihangaisha kutafuta kazi.
 
Ukiiingia tena kwenye mahusiano epuka sana kuyapigania mapenzi kwa pesa, Usiogope kumwambia mwanamke sina pesa ya kukupa na hata akikuacha muache aende kwan hata ukienda kukopa pesa kwaajili yake ipo siku utakosa sehem ya kukopa na atakuacha tu

Sent using Gun Trigger
 
Ukiiingia tena kwenye mahusiano epuka sana kuyapigania mapenzi kwa pesa, Usiogope kumwambia mwanamke sina pesa ya kukupa na hata akikuacha muache aende kwan hata ukienda kukopa pesa kwaajili yake ipo siku utakosa sehem ya kukopa na atakuacha tu

Sent using Gun Trigger
Na aache kuingilia majukumu ya wazazi wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatari saana...huyu akamwonyesha kabisa anaweza kumlisha na familia na hata huyu mwanamke sidhani kama alijihangaisha kutafuta kazi.

Ajihangaishe ya nini wakati kaona kabisa kuwa hapa mambo yapo sawa... Wee hawa wanawake ukokosa hela utapewa matusi mpaka ushangae.... Mie kuna mmoja aliniambiaga sina mbele wa nyuma kama mche wa sabuni... Ndio nikapata somo
 
Mkuu maumivu yako hayataisha kirahisi kwa kuwa bado unampenda na kinachokuuma umeshathibitisha kwamba amekusalti,Fanya kitu kimoja kwanza pimeni kujua afya zenu kisha rudisha mahusiano anza kumega huku ukitafuta demu mpya mkali kuliko yeye kisha anza kumuacha taratibu maumivu atakayokuja kuyapata ni zaidi,na moyo wako utakuwa na amani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nisidanganye sina hisia nae kbs

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ajihangaishe ya nini wakati kaona kabisa kuwa hapa mambo yapo sawa... Wee hawa wanawake ukokosa hela utapewa matusi mpaka ushangae.... Mie kuna mmoja aliniambiaga sina mbele wa nyuma kama mche wa sabuni... Ndio nikapata somo
Hahaha eti huna mbele wala nyuma.....hahahaha.
 
Waambie wazazi wake binti yao anahatarisha maisha yake na yako
 
Hilo suala atamuachiaje mungu wakati lipo kwenye uwezo wake?
mungu anayo majukumu mengi haya mengine yamalizeni wenyewe msimsumbue.
Wewe ndio unaona lipo ndani ya uwezo wake (yaani kwa mtazamo wako) lakini kwake linakoelekea litakua nje ya uwezo wake ndio màana akaleta uzi huu hapa jf ili apate ushauri
 
Back
Top Bottom