...."nikamuomba simu nikaweka namba ya demu nikakuta wako na jamaa flan,nikacheki status nyingi wakiwa wanapika pmj,"...
Hivi ikiwa Mimi Sina namba yako Ila wewe una namba yangu, Je, unaweza ku VIEW STATUS KWANGU...???
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji848][emoji848][emoji848] kwa hapa bwana jimy umetufunga kidgo...."nikamuomba simu nikaweka namba ya demu nikakuta wako na jamaa flan,nikacheki status nyingi wakiwa wanapika pmj,"...
Hivi ikiwa Mimi Sina namba yako Ila wewe una namba yangu, Je, unaweza ku VIEW STATUS KWANGU...???
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari saana...huyu akamwonyesha kabisa anaweza kumlisha na familia na hata huyu mwanamke sidhani kama alijihangaisha kutafuta kazi.Vijana kila leo hapa nawaambia kuwa mwanamke hapendi anaangalia life bado hawapati somo.
kuna mwenye smartphone acijue tofaut ya profile picture na status tena kasema NYINGI au dp ndo zlkua NYING
Na aache kuingilia majukumu ya wazazi waoUkiiingia tena kwenye mahusiano epuka sana kuyapigania mapenzi kwa pesa, Usiogope kumwambia mwanamke sina pesa ya kukupa na hata akikuacha muache aende kwan hata ukienda kukopa pesa kwaajili yake ipo siku utakosa sehem ya kukopa na atakuacha tu
Sent using Gun Trigger
Hatari saana...huyu akamwonyesha kabisa anaweza kumlisha na familia na hata huyu mwanamke sidhani kama alijihangaisha kutafuta kazi.
Usitake nianze kueleza,Mkuu uliwezaje kuona Whatsup status ya mtu, kwa kuweka no. tu kwenye simu ya mtu mwingine???
nikamuomba simu nikaweka namba ya demu nikakuta wako na jamaa flan,nikacheki status nyingi wakiwa wanapika pmj
Nisidanganye sina hisia nae kbsMkuu maumivu yako hayataisha kirahisi kwa kuwa bado unampenda na kinachokuuma umeshathibitisha kwamba amekusalti,Fanya kitu kimoja kwanza pimeni kujua afya zenu kisha rudisha mahusiano anza kumega huku ukitafuta demu mpya mkali kuliko yeye kisha anza kumuacha taratibu maumivu atakayokuja kuyapata ni zaidi,na moyo wako utakuwa na amani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha eti huna mbele wala nyuma.....hahahaha.Ajihangaishe ya nini wakati kaona kabisa kuwa hapa mambo yapo sawa... Wee hawa wanawake ukokosa hela utapewa matusi mpaka ushangae.... Mie kuna mmoja aliniambiaga sina mbele wa nyuma kama mche wa sabuni... Ndio nikapata somo
kuna mwenye smartphone acijue tofaut ya profile picture na status tena kasema NYINGI au dp ndo zlkua NYING
Sent using Jamii Forums mobile app
Okay, nimekuelewa...Dp kama ameeka yyte aone anaiona ila status lazma nyote wawil iwe mmesave namba huenda likusudia dp kulkua na pic imeekwa akapewa taarifa pengne amechanganya kwnye kueka maelezo hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio unaona lipo ndani ya uwezo wake (yaani kwa mtazamo wako) lakini kwake linakoelekea litakua nje ya uwezo wake ndio màana akaleta uzi huu hapa jf ili apate ushauriHilo suala atamuachiaje mungu wakati lipo kwenye uwezo wake?
mungu anayo majukumu mengi haya mengine yamalizeni wenyewe msimsumbue.