Sensei Tai
Senior Member
- May 26, 2022
- 168
- 466
Kuna mwanamke mmoja nipo nae kwenye mahusiano na huwa tutakutana kimwili mara mbili au mara tatu kwa mwezi.
Mara nyingi tukikutana huwa hatutumii kinga sababu wote tulienda kupima kipimo kikubwa na kuonekana wote damu zetu zipo safi kwamaana hatuna maambukizi ya virusi vya UKIMWI.
Wiki mbili zilizopita nikutana nae kimwili lakini baada ya siku mbili tatu nikaanza kuhisi nawashwa kwenye njia ya mkojo na napata tabu kujikuna mana hata ukikuna ngozi bado muwasho hauondoki mana upo kwenye njia ya mkojo.
Hapa jirani kuna duka la dawa anauza mama flani sasa nilienda nikamuelezea kisha akanipatia dawa ya kutumia siku tano na kweli baada ya kutumia lile tatizo likaisha.
Sasa ombi langu kwenu wataalamu nataka mnijuze kulingana na maelezo yangu huu ugonjwa ni ugonjwa gani, mana sina mwanamke mwingine zaidi yake ambae nasex nae hivyo yeye ndie ambae aliniambukiza huu ugonjwa kwa asilimia 100%.
Wataalamu naomba mnijuze kulingana na uzoefu wenu wa masuala ta magonjwa
Ahsante
Mara nyingi tukikutana huwa hatutumii kinga sababu wote tulienda kupima kipimo kikubwa na kuonekana wote damu zetu zipo safi kwamaana hatuna maambukizi ya virusi vya UKIMWI.
Wiki mbili zilizopita nikutana nae kimwili lakini baada ya siku mbili tatu nikaanza kuhisi nawashwa kwenye njia ya mkojo na napata tabu kujikuna mana hata ukikuna ngozi bado muwasho hauondoki mana upo kwenye njia ya mkojo.
Hapa jirani kuna duka la dawa anauza mama flani sasa nilienda nikamuelezea kisha akanipatia dawa ya kutumia siku tano na kweli baada ya kutumia lile tatizo likaisha.
Sasa ombi langu kwenu wataalamu nataka mnijuze kulingana na maelezo yangu huu ugonjwa ni ugonjwa gani, mana sina mwanamke mwingine zaidi yake ambae nasex nae hivyo yeye ndie ambae aliniambukiza huu ugonjwa kwa asilimia 100%.
Wataalamu naomba mnijuze kulingana na uzoefu wenu wa masuala ta magonjwa
Ahsante