Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Francis Mawere

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2015
Posts
958
Reaction score
831
Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
Jamaa: Una tatizo gani baby?
Mrembo: Nimetoka hospitali kupima, nna mimba.
Jamaa: Weeh usiniletee balaa hiyo mimba imeingiaje wakati huwa tunatumia kinga?
Mrembo Kwani nani kakwambia mimba ni yako, hebu tuliza mshono huo.


MTATUUA
 
Back
Top Bottom