Huyu mwanamke mwenzangu wa dar "rapper Chemical" aisee ni sheeedah!!!

Kule Mmu wamejazana na stori zao za kutunga ndio maana huwa sipachukulii serious kabisa.
Wanatafuta attention na umaarufu kimba.
Wanajiita wanaume wa vidole juu,yani anaandika uzi amelegea kila kiungo cha mwili huku anatikisa nyonga asalaaalaaleee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…