Unaniita Denis halafu unaniuliza ni Ke au me jibu lake mi ni Meeee beberuWe denis ni ke au wewe ni me?
Don't bother..naskia huyo demu ni msagaji. anagonga sana mademu wenzake[emoji54][emoji54]
Njoo Toroka UJE Bar Kimara korongwe unijue vizuri huku tukipata moja moto..Nitajuaje sasa kama wewe ni me?
Mara kwa mara huwa nasikiliza nyimbo zake huyu dada daaah!
Anajua sana....
Nikiisikiliza hii cover yake ya forever aliyoimba na rubi ndio "chafuu kabisaaa"
View attachment 425322
Itakuwa hivyo mkuu maana dah............naskia huyo demu ni msagaji. anagonga sana mademu wenzake[emoji54][emoji54]
Anaitwa pinkAnaitwa naniii?
kwa akili yako Dar kuna banana? Hizo mambo zipo Arusha na Moshi..huku ni ngano tu[emoji23] [emoji23] unakunywa banana...mwanaume wa dar
Huyu dada kakatika sentaborti za kiuno au ni mapozi?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hapo sijui mkuuHuyu dada kakatika sentaborti za kiuno au ni mapozi?
HakikaWanajiita wanaume wa vidole juu,yani anaandika uzi amelegea kila kiungo cha mwili huku anatikisa nyonga asalaaalaaleee
Picha za vinywaji hasa pombe JF haziruhusiwi mana kuna wafia dini humu..ila kwa nini unapenda kujibadili jinsia yakoWeka picha we kaka[emoji23] [emoji23]
Unakunywa banana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]