Huyu Mwanamke Ni Mjinga Sana..!!

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,076
Reaction score
17,247
Huyu mpenzi sasa nimeamua tuachane maana
kama ujinga hapa ndio makao makuu, siku moja,
aliniiuliza ‘ Hivi naweza kumuua samaki kwa
kumzamisha kwenye maji?’ sikumjibu maana niliona
heri ninyamaze, jibu langu linaweza kuonekana tusi.
Leo kanipigia simu, eti ananiuliza,'Samahani Baby namba yako
ya simu ngapi? Nikumbushe mie nimeisahau'
 
Leo kanipigia simu, eti ananiuliza,'Samahani Baby namba yako
ya simu ngapi? Nikumbushe mie nimeisahau'

Inawezekana kweli kaisahau. Kwani nani siku hizi huwa anakariri namba za simu za watu?

Labda uniambie hujafurahishwa na yeye kutokuisevu samba yako. Ujinga wake siuoni hapo.

Lakini pia labda ana utetezi...huenda anatumia simu mpya ambayo bado hajaiesevu namba yako.

Mi mwenyewe namba za simu ambazo nimezikariri kichwani hata tatu hazifiki.
 
Kwa ujinga huo bora tu umuache asije akakuharibia watoto... Ukazaa virazwaa wakati mkuu wa kaya hawafagiliii....
 
Aiseeee
Huyo n shuga mamy achana nae aiseee
Ataku aibisha
 
Kwa ujinga huo bora tu umuache asije akakuharibia watoto... Ukazaa virazwaa wakati mkuu wa kaya hawafagiliii....
Kweli kabisa , na huo ni uamuzi wa busara
 
kweli mkuu mm mwenyewe nimekariri namba moja tu ambayo ni yangu tu...ila inabidi nianze zoezi kukariri namba ya mzazi wangu....mana hakuna namna
 
Leo kanipigia simu, eti
ananiuliza,'Samahani Baby namba yako
ya simu ngapi? Nikumbushe mie
nimeisahau'
 
Leo kanipigia simu, eti
ananiuliza,'Samahani Baby namba yako
ya simu ngapi? Nikumbushe mie
nimeisahau'

Mwambie hv... unikome, niko na mpenzi wangu hapa... sikujui.. akisema unasemaje...!!? unabadili sauti kama demu, unamwambia kwa sauti ya demu, wee..ma.laya wee, umkome mume wangu, kajiuzee ukooo, nini na nini... akisema na ww kwendaaa... unamjibu peleka mategee ukooo, maning'ing'ini wee, umekomaa miguu kama joti, alafu mkati simu, mblock mitandao yote..

Do tht..!!
 
hahaa mkuu umenifanya nicheke kwa saut hapa nilipo
 
Jamani nani tena anatumia user ya Nyani Ngabu ? Maana jinsi alivyo jibu walah sie mwenyewe.
 
Huenda maswali yake yalikuwa na connection na hali halisi mlokuwa mnapitia kwa muda huo.

Hilo la namba za simu alikupigia kupitia messenger au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…