kishaija
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,049
- 1,198
Vistory vya kutunga sjui huwa unavitolea wap!!??Huyu mpenzi sasa nimeamua tuachane maana
kama ujinga hapa ndio makao makuu, siku moja,
aliniiuliza ‘ Hivi naweza kumuua samaki kwa
kumzamisha kwenye maji?’ sikumjibu maana niliona
heri ninyamaze, jibu langu linaweza kuonekana tusi.
Leo kanipigia simu, eti ananiuliza,'Samahani Baby namba yako
ya simu ngapi? Nikumbushe mie nimeisahau'