Huyu mwanamke nimemkubali sana, Polisi na Serikali zetu aibu

Huyu mama hajakutana na polisi vichaa angeomba poo na ni nyie nyie mngelaumu hapa.
Tii sheria bila shurti, huyo mama ni km yuko jùu ya sheria, angekatwa mitama hapo kilamtu angesema lake
 
Mbona kama umejibu ulichonipinga! miAFRICA mingi hasa inayofanyakazi za Serikali mingi ni mipumbav

Sent using Jamii Forums mobile app
Miafrika haijalaaniwa bali ni mijinga, mijinga tu.
Miviongozi yao ndiyo usisema, yaani ni hopeless kabisaa.
Halafu kuna mijitu inakaa humu mitandaoni inawatete usiku na mchana
 
Huyu mama hajakutana na polisi vichaa angeomba poo na ni nyie nyie mngelaumu hapa.
Tii sheria bila shurti, huyo mama ni km yuko jùu ya sheria, angekatwa mitama hapo kilamtu angesema lake
atii sheria gan hapo,wkt hao askari hawafati sheria,haki,wala uhuru,au una maanisha askari hawapaswi kufuata sheria?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kiasi chake kuna utofauti uliyopo kati ya polisi wa Tz na Ug.

"N.W.A" waliona mbali kuhusu polisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…