Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Kuna mtu atakua anamjali vizuri kwako ni stori tu (natania) π πWadau hamjamboni nyote?
Tafakuri ya kina kwa wenye hekima
Umefanya kosa kubwa kumwambia huyo mwanamke ukweli! Usithubutu kumwambia kila ukweli mwanamke yeyote utajuta!Wadau hamjamboni nyote?
Tafakuri ya kina kwa wenye hekima
Ni Ukweli hutaniiKuna mtu atakua anamjali vizuri kwako ni stori tu (natania) π π
eo kila uzi upo na wadada wa kichaga....... Karibu Tarakea πHuyo ndio mke muoe.
Wanawake wa kichaga wengi wanayo hiyo spirit hata kama atakukuta unalala chini au stand. Kikubwa muwe na focus ya maisha, ila mkitoboa ukizingua anakunyoosha.. nawapenda sana Hawa watu
Wachaga wapo poa mkuu.. nimefanya tafiti kwa mda mrefu.. ingawa Kila mtu na machuguo yake π πL
eo kila uzi upo na wadada wa kichaga....... Karibu Tarakea π
ikose kufika Tarakea π.......Wachaga wapo poa mkuu.. nimefanya tafiti kwa mda mrefu.. ingawa Kila mtu na machuguo yake π π
Unashtukia mtu anakuambia Karibu kwenye harusi yangu kaka wa hiyari πNi Ukweli hutanii