Huyu mwanamke nimemtokea kakubali ila nimemwambia sina kazi wala kipato kwani nimeyumba sana kimaisha, kasema poa hamna shida

Huyu mwanamke nimemtokea kakubali ila nimemwambia sina kazi wala kipato kwani nimeyumba sana kimaisha, kasema poa hamna shida

Baridii moja zuri sana hutojutia aseeh ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ‘Š....... Lazima kiumeni kuumane
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… Natafuta shamba huko, nitakuwa majira flani nakuja kujificha tu huko hata na mke wa mc pili pili ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Havina kanuni ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Mwanadamu anabadirika.. anaweza kuwa mzuri au mmbaya au neutral.. mapenzi ni aina ya ku take risk tu.. kujitahidi ku minize maana ku avoid ngumu.. ni kama unaishi na chatu ndani au cobra
Hebu nikumbushe tulikua tunajadili nini mkuu?
 
Umefanya kosa kubwa kumwambia huyo mwanamke ukweli! Usithubutu kumwambia kila ukweli mwanamke yeyote utajuta!
Yah rule number 1 :usimwambie mwanamke udhaifu wako
Rule number 2:Usimwambie asili ya nguvu zako.
 
Unashtukia mtu anakuambia Karibu kwenye harusi yangu kaka wa hiyari ๐Ÿ˜
Tatizo ni moja, binti hana kipato chochote na wewe mwanaume unapenda vya bure. Kama hakuombi hela jua kuna anayemtimizia mahitaji yake.
 
Huyo atakuwa amejiegeshe tu kwako bro,siku mambo yakimnyookea anasepa mazima
 
Kifupi humjamjuwa mwanamke!
Tupe mrejesho baada ya mwaka ukiwa huna kitu!
 
Back
Top Bottom