Huyu mwanamke nimemtokea kakubali ila nimemwambia sina kazi wala kipato kwani nimeyumba sana kimaisha, kasema poa hamna shida

Baridii moja zuri sana hutojutia aseeh πŸ˜‚ πŸ‘Š....... Lazima kiumeni kuumane
πŸ˜…πŸ˜… Natafuta shamba huko, nitakuwa majira flani nakuja kujificha tu huko hata na mke wa mc pili pili 🀣🀣🀣
 
Havina kanuni πŸ˜…πŸ˜…
Mwanadamu anabadirika.. anaweza kuwa mzuri au mmbaya au neutral.. mapenzi ni aina ya ku take risk tu.. kujitahidi ku minize maana ku avoid ngumu.. ni kama unaishi na chatu ndani au cobra
Hebu nikumbushe tulikua tunajadili nini mkuu?
 
Umefanya kosa kubwa kumwambia huyo mwanamke ukweli! Usithubutu kumwambia kila ukweli mwanamke yeyote utajuta!
Yah rule number 1 :usimwambie mwanamke udhaifu wako
Rule number 2:Usimwambie asili ya nguvu zako.
 
Mtoa mada amelewa
Msije gombana na mlevi
 
Unashtukia mtu anakuambia Karibu kwenye harusi yangu kaka wa hiyari 😝
Tatizo ni moja, binti hana kipato chochote na wewe mwanaume unapenda vya bure. Kama hakuombi hela jua kuna anayemtimizia mahitaji yake.
 
Huyo atakuwa amejiegeshe tu kwako bro,siku mambo yakimnyookea anasepa mazima
 
Kifupi humjamjuwa mwanamke!
Tupe mrejesho baada ya mwaka ukiwa huna kitu!
 
"Kasema poa,haina noma"na wewe ukaamini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…