kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Huyu demu nimepata kushudia video zake fulani akiwa kwenye timu ya costa de sol.
Angekuwa mwanaume Yanga wangelipata mchezaji mzuri saana, ila kwasababu ni demu basi Yanga Princess wamepata mchezaji mzuri ambaye yuko very talented saana.
Ana skills nyingi saana mguuni mwake anajua ku dribbler, kupassing, ana speed, na shoot
Ana haki ya kujiita Neymar wakike.
Kama Kocha wa Yanga Princess atakuwa ana panga hivi basi hii timu itakuwa tishio Afrika.
~ Namba 9 Wogu
~ Namba 11 huyu Cuta
~ Namba 7 yule demu kutoka Burundi
~ namba 10 Precious
~ Namba 8 Atinuke
~ Namba 6 Maynaco
Hii timu wanaweza kuchukuwa mpaka Kombe la Africa, hawa wachezaji wako very talented saana, kwa jinsi nilivyo washudia mimi.
Angekuwa mwanaume Yanga wangelipata mchezaji mzuri saana, ila kwasababu ni demu basi Yanga Princess wamepata mchezaji mzuri ambaye yuko very talented saana.
Ana skills nyingi saana mguuni mwake anajua ku dribbler, kupassing, ana speed, na shoot
Ana haki ya kujiita Neymar wakike.
Kama Kocha wa Yanga Princess atakuwa ana panga hivi basi hii timu itakuwa tishio Afrika.
~ Namba 9 Wogu
~ Namba 11 huyu Cuta
~ Namba 7 yule demu kutoka Burundi
~ namba 10 Precious
~ Namba 8 Atinuke
~ Namba 6 Maynaco
Hii timu wanaweza kuchukuwa mpaka Kombe la Africa, hawa wachezaji wako very talented saana, kwa jinsi nilivyo washudia mimi.