<br />Kha! duniani kuna mambo...kosa la kwanza lingesamehewa,la pili ingebidi baba atake action na pia awe muangalifu kwa mkewe...hili la tatu ni <b><i>red card tu!</i></b><br />
lakini pia huyo mzee hr should recheck himself mapungufu yake,huenda anakosa mawasiliano na mkewe ama kuna wajibu hatekelezi.
<br /><br />Hakuna kumtimua mke. Ndo mzigo wenyewe huo na huyo mume aubebe. Kwani alivyokuwa anakubali apizo bila shuruta alidhania the negative side haitakuja? Anyway let me think a bit.....mhh mkopo bank? Dhamana ni household furniture etc? Hiyo bank inayokopesha iko wapi mazee? @DA fuatilia hiyo bank utujulishe! Lol love u JF
<br /><font face="Book Antiqua"><font size="4">Mhhhh! Hapa labda kuna moja ya haya au pia yote yapo ndani ya ndoa hii:</font></font><br />
<br />
<font face="Book Antiqua"><font size="4">1. Mume kalishwa lile linaloitwa "limbwata", hivyo hasikii wala haoni kwa mkewe huyu hata tende kosa kubwa kiasi gani</font></font><br />
<font face="Book Antiqua"><font size="4">2. Mke shughuli zake si za kawaida na mke anajua hilo, hivyo mume kila anapofikiria kumuadhibu kwa namna moja au nyingine kitu ambacho kinatishia ndoa yao, basi mume hushindwa kuchukua hatua yoyote ile.</font></font><br />
<font face="Book Antiqua"><font size="4">3. Mume huyu ni wale wanaitwa B**** mtozeni, huwa hakaripii wala kuchukua hatua yoyote ile dhidi ya mkewe hata afanye kosa kiasi gani.</font></font><br />
<br />
<font face="Book Antiqua"><font size="4">Kufanya kosa mara ya kwanza si kosa lakini kulirudia kosa lile lile tena mara tatu! Mhhhhhh! Mke huyu ana bahati ya mtende kwa kujipatia mume mpole kiasi hiki, waume wengine wengi wangekuwa wameshampotezea na ndoa yako kubaki history.</font></font>
<br />bank za kibongo kukopa inabidi uwe unafanya biashara ya bangi au cocaine ndipo uweze kulipa JK NYERERE!riba zake kubwa wakati japan wanaenda kwenye 0.5% interest rate!sisi 18%.
<br />
<br />
good boy...
Mwanaume ana makosa makubwa sana:evil:
Yapi?
Mhhhh, kwanini?
Naamini HUYO BABA na yeye ni part ya tatizo,na yaelekea kama hiyo nyumba yao hakuna mawasiliano kati ya baba na mama.Lilipotokea mara ya kwanza huyo baba alitakiwa anajaribu kuwa karibu na huyo mama washauriane, Yawezekana mama ana nia nzuri ila kukosekana msaada wa mawazo wa huyo baba ndo kunachangia kushindwa kurudisha mkopo
Ni Baba wa watoto wanne wana ndoa nzuri tu. Imetokea shida ndani Mama kachukua mkopo Benki mara ya kwanza bila Mumewe kujua alikopeleka pesa anajua yeye akashindwa kulipa Benki wakaja wakabeba kila kitu mume kurudi kawa mkali kabembelezwa kakubali wakaanza upya, Mama kabadili Benk the same story wakabeba kila kitu, leo ni mara ya tatu wakaja mchana wa leo wamebeba kila kitu km kawaida kumbuka hii nayo ni Bank tofauti mzee kurudi kukuta yale yale ya kusafishiwa nyumba kamtimua mkewe yuko anaomba msaada plus msamaha arudishwe. Mie nauliza huyu Baba ana makosa kwa hili kweli? Kwangu binafsi naona yuko right....