Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,080
- 4,273
- Thread starter
- #41
Huyu dada the next thing ilikuwa ni kumpa mume wake ugonja wa moyo maana kama ni kuvumulia mume amevumilia vya kutosha ni mtu gani unafanya kitu karibia mara tatu na haujifunzi wala kuona kama unakosea
Nakwambia wanawake wengine wana raha kweli kupata waume wapole kiasi hicho kha!!!