Huyu mwanaume nimfanyaje.

Huyu mwanaume nimfanyaje.

Mankaa

Senior Member
Joined
Jan 21, 2012
Posts
156
Reaction score
49
Habar zenu wana jf..
Kuna kitu kinantatiza kuna jamaa mmja, ambae ni rafiki yangu tu wa kawaida..sasa amekuwa na tabia ambazo sizipendi naona hata nivunje urafiki wetu..yy anafanya kaz bank ya mikopo af ni hb mbayaa aliwahi ntokea nkamkataa kutokana na jinsi alivyo nahis atakuwa anashobokewa cna na mabint.

amekuwa na tabia ya kunieleza cna .matatizo hasa ya kipesa na nimekuwa nkimsaidia kma nina weza.nimefahamiana nae ni kama miezi 6 tuu imepita nlishamsaidia mara 2juzi aliniomba nimsaidie alikwama nkamwambia sipo vuzuri realy alinidistabu sana sikupenda.
Siku zikakatuka jana tena kanipigia ooh nina shida na wee ntakuonaje nkamwambia nkiwa free ntakutafuta..
Wadau huyu mtu mnafikiri nimfanyaje kwa hii tabia yake ya kunieleza matatizo yake inhali me ni rafiki yake tu.
 
Ha ha ha ha ha ha!we manka linapokuja suala la kusaidiana unamuona rafiki yako anakudistab?kweli wanawake wa kichaga kiboko.
 
kwa sifa ulizotaja, unataka usaidiwe nini?
Grow up!
 
Kama uko katika pstion ya kumsaidia msaidie bwana...Kwani hakurudishii?maisha kusaidiana
 
Msaidie jinsi ya kupanga matumizi yake yaendane na mapato. Muambie since mnashirikishana hali ngumu ya uchumi, muambie hata wewe mapato yako hayatoshi inabidi ujipange ndo upate ziada ya kumpa na yeye.
 
Msaidie jinsi ya kupanga matumizi yake yaendane na mapato. Muambie since mnashirikishana hali ngumu ya uchumi, muambie hata wewe mapato yako hayatoshi inabidi ujipange ndo upate ziada ya kumpa na yeye.

ndetichia like this post..
 
Habar zenu wana jf..
Kuna kitu kinantatiza kuna jamaa mmja, ambae ni rafiki yangu tu wa kawaida..sasa amekuwa na tabia ambazo sizipendi naona hata nivunje urafiki wetu..yy anafanya kaz bank ya mikopo af ni hb mbayaa aliwahi ntokea nkamkataa kutokana na jinsi alivyo nahis atakuwa anashobokewa cna na mabint.

amekuwa na tabia ya kunieleza cna .matatizo hasa ya kipesa na nimekuwa nkimsaidia kma nina weza.nimefahamiana nae ni kama miezi 6 tuu imepita nlishamsaidia mara 2juzi aliniomba nimsaidie alikwama nkamwambia sipo vuzuri realy alinidistabu sana sikupenda.
Siku zikakatuka jana tena kanipigia ooh nina shida na wee ntakuonaje nkamwambia nkiwa free ntakutafuta..
Wadau huyu mtu mnafikiri nimfanyaje kwa hii tabia yake ya kunieleza matatizo yake inhali me ni rafiki yake tu.

au unampenda ila unaona noma tu kumwambia angalia tusijeona manyoa...
 
Msaidie jinsi ya kupanga matumizi yake yaendane na mapato. Muambie since mnashirikishana hali ngumu ya uchumi, muambie hata wewe mapato yako hayatoshi inabidi ujipange ndo upate ziada ya kumpa na yeye.

well said my wii asipofuata ushauri wako basi tena
 
Ha ha ha ha ha ha!we manka linapokuja suala la kusaidiana unamuona rafiki yako anakudistab?kweli wanawake wa kichaga kiboko.

Uchaga hapo unaingia vp sasa?!!
POPOOOOO!!
 
Habar zenu wana jf..
Kuna kitu kinantatiza kuna jamaa mmja, ambae ni rafiki yangu tu wa kawaida..sasa amekuwa na tabia ambazo sizipendi naona hata nivunje urafiki wetu..yy anafanya kaz bank ya mikopo af ni hb mbayaa aliwahi ntokea nkamkataa kutokana na jinsi alivyo nahis atakuwa anashobokewa cna na mabint.

amekuwa na tabia ya kunieleza cna .matatizo hasa ya kipesa na nimekuwa nkimsaidia kma nina weza.nimefahamiana nae ni kama miezi 6 tuu imepita nlishamsaidia mara 2juzi aliniomba nimsaidie alikwama nkamwambia sipo vuzuri realy alinidistabu sana sikupenda.
Siku zikakatuka jana tena kanipigia ooh nina shida na wee ntakuonaje nkamwambia nkiwa free ntakutafuta..
Wadau huyu mtu mnafikiri nimfanyaje kwa hii tabia yake ya kunieleza matatizo yake inhali me ni rafiki yake tu.

Acha kujishtukia, ww ndo unamchukulia vibaya ( bluu), huo u hb unahusika vipi? hujasema kama amekutokea/kutongoza. Halafu (nyekundu) marafiki ndo huelezana matatizo ili wasaidiane, ww ulitaka akamweleze nani km siyo ww?.
Km unahisia nae funguka dada!!!!.
 
My dia mankaaa,
Hapo hakuna cha nn wala nn,
Ww na hyo rafiki yako tayari mko in love,
Is matter of time tu,mtaambiana ukweli!!
 
Yan sijakuelewa kabisa,sasa anakudistabo kivipi;kukuomba msaada au kuna jingine limejificha nyuma ya pazia,halafu jaribu kutumia lugha inayoeleweka,hivyo vifupisho wengine hatuvielewi.
 
Hakuna tatizo lolote kama ana shida msaidie. Urafiki ni kusaidiana!
 
Ananifahamu vizur tu afu kitu kingine ananreact kama mpenzi wake kitu ambacho syo aliniaproch ila nkamtolea nje sa me hata cmuelewi afu kingine cjifill vizuri kumsaidia mara kwa mara coz hawa wenzetu hawachelew kusema wanahongwa.
 
Back
Top Bottom