Huyu mwandishi wa habari amedhihirisha wazi mapenzi yake ,yani kachanganya mapenzi na kazi

Huyu mwandishi wa habari amedhihirisha wazi mapenzi yake ,yani kachanganya mapenzi na kazi

py thon

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2016
Posts
2,476
Reaction score
4,448
abb2dc934095ed213d966534466da5b2.jpg


[emoji23] [emoji23]
 
Tofautisha:
Ya kwanza ni International match
Ya pili ni Local match

Kwani kuna ubaya kushabikia International match?
 
Mwandishi wa gazeti la Uhuru anaitwa Ndege
 
Tofautisha:
Ya kwanza ni International match
Ya pili ni Local match

Kwani kuna ubaya kushabikia International match?
Mkuu namjua huyu jamaa kindaki ndaki ni shabiki wa Yanga vibaya mno. Halafu pia ni mpiga picha wa Manji sasa unganisha dots hapo.
 
Back
Top Bottom