Huyu mwenyekiti wa Uvccm Dar anajitambua kweli? Yaani hii katiba ya sasa ya mwaka 1977 ndio imemuachia huru Mbowe?

Huyu mwenyekiti wa Uvccm Dar anajitambua kweli? Yaani hii katiba ya sasa ya mwaka 1977 ndio imemuachia huru Mbowe?

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Nashindwa kuelewa kama ana akili timamu au labda ni shule haimo kichwani.
👇
Screenshot_20220327-140834.jpg
 
Anayoyasema n sahihi,hii katiba inamapungufu ndo maana dada baada ya kuombwa sana afute kesi ndo mbowe akafutiwa

Ila tungekuwa na katiba mpya tunayodai,Mbowe asingetoka kwa kumuombea kwa rais
 
Licha ya wapinzani kulialia kutaka kubadilishwa katiba lakini msomi wa sheria Lissu anatambua bila katiba ya 1977 asingekuwa na uwanja wa kuropoka.

Ni ukweli usiopingika ni katiba ya 1977 ndio imetoa nafasi ya mshtakiwa wa ugaidi kusikilizwa. Mbowe angekuwa Marekani sasa angekuwa mahali salama.
 
Back
Top Bottom