Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeona......huko alipoenda labda ilikua mboga 7Umeangalia mwaka wa matukio na faini waliyotozwa!
Hizi faini ndizo zimeniacha hoi mimi, kweli nchi hii imepotea mno,wenzetu jirani hadi leo 50 zao ina thamani mno maana unapata 2lts of diesel, 100 watu wawili mnakula na 🍺 za kushushia!Umeangalia mwaka wa matukio na faini waliyotozwa!
Umeangalia mwaka wa matukio na faini waliyotozwa!
Kuna neno hapo umelitumia nimecheka sana"Nitakuwa na wewe kwenye shida na raha " kumbe hichi kiapo kinakuwaga cha uniya tu.
Laki nne mwaka 1964? Au hujasoma habari hiyo?Huyo mke pengine angepewa fedha ya matumizi ya mwezi Kama laki nne hivi, angemlisha mme wake hilo dona na kauzu ili abakiwe na fedha ya vikoba na vikundi, lakini mme kubana matumizi kaona anamtesa
Babu yangu mzaa baba alikuwa hajaoaHii kesi ilipotokea wengi humu walikua hawajazaliwa.
Daa kumbe ni kitamboLaki nne mwaka 1964? Au hujasoma habari hiyo?
Shukran na ubarikiwe. Kiwanja Biafra sasa hivi kingekua 1B.Hii kesi iliibua hisia sana , watu kila siku tulifuatilia redioni 😁😁 Redio Tanzania Dar es Salaam ! Nakumbuka Bwana Manyengo faini ilimshinda kiwanja chake pale maeneo ya Biafra kikauzwa !! Heko wahenga😃😃
Natamani leo ingekua Happy Fools Day