Huyu mwimbaji kapotelea wapi.............

Huyu mwimbaji kapotelea wapi.............

Wakati wa uchaguzi wa Marekani 2008 alivuma sana sasa kapotea kimyakimya..............
 
Hata miye nimetoka kapa, labda Mkuu Ruta arudi kuja kutwambia ni nani huyu au aliimba wimbo/nyimbo upi/zipi.
 
huyu dada sio mwimbaji wakati wa kampeni za Obama alicapitalise akaja na single kama mbili za campaign ya obama i think anaitwa obama girl
 
Last edited by a moderator:
default.jpg
 
Back
Top Bottom