Huyu mwizi poo kwanza

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,252
*Kuna mwizi mmoja kidogo aniue na cheko*

Mwizi mmoja alikwenda kuiba mbuzi usiku wa manane. Aliporudi akaacha amefunga yule mbuzi mlangoni kwake akaelekea kulala. Asubuhi wale wenye mbuzi wakafika pale. Wakaanza kubisha hodi kwa nguvu

*Mwizi:* Nani?
*Wale:* Tunaitaji mbuzi wetu
*Mwizi:* Kwani mbuzi hayupo hapo nje?
*Wale:* Yupo
*Mwizi:* Sasa si mumchukue, mna niamsha kwanini? Kwani mimi nilipoiba huyo mbuzi niliwaamsha?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…