Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,252
*Kuna mwizi mmoja kidogo aniue na cheko*
Mwizi mmoja alikwenda kuiba mbuzi usiku wa manane. Aliporudi akaacha amefunga yule mbuzi mlangoni kwake akaelekea kulala. Asubuhi wale wenye mbuzi wakafika pale. Wakaanza kubisha hodi kwa nguvu
*Mwizi:* Nani?
*Wale:* Tunaitaji mbuzi wetu
*Mwizi:* Kwani mbuzi hayupo hapo nje?
*Wale:* Yupo
*Mwizi:* Sasa si mumchukue, mna niamsha kwanini? Kwani mimi nilipoiba huyo mbuzi niliwaamsha?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwizi mmoja alikwenda kuiba mbuzi usiku wa manane. Aliporudi akaacha amefunga yule mbuzi mlangoni kwake akaelekea kulala. Asubuhi wale wenye mbuzi wakafika pale. Wakaanza kubisha hodi kwa nguvu
*Mwizi:* Nani?
*Wale:* Tunaitaji mbuzi wetu
*Mwizi:* Kwani mbuzi hayupo hapo nje?
*Wale:* Yupo
*Mwizi:* Sasa si mumchukue, mna niamsha kwanini? Kwani mimi nilipoiba huyo mbuzi niliwaamsha?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app