Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Ameharibu kwa kweliwatu wengine ni wazazi wetu ila tuwe makini magonjwa ya akili yapo sana kwenye jamii zetu..
Job what🤣🤣🤣🤣🤣Anataka usichotaka Mkuu!
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Maua kama sijakupata vizuri ivi[emoji848]Huyu mzazi anaharibia watoto wake uzao alianza binti mdogo akapata bwana wakawaida tu huyu mama akamfukuza basi akaletewa tajiri tena wamadini...
Nyie watoto wake endeleeni na maisha yenu!!! Akisema sikiliza kw sababu ni mzazi, ukitoka liache hapo hapo mlangoni kwakeHuyu mzazi anaharibia watoto wake uzao alianza binti mdogo akapata bwana wakawaida tu huyu mama akamfukuza basi akaletewa tajiri tena wamadini ...
Jikite kwenye hoja...🤨Umeandika kama unaogea nje,,,,
Afwadhali umeongeaJikite kwenye hoja...🤨
Umeiona eh?Wazazi wanajikuta miungu watu sana.
Unaweza kuwa na mawazo ya kufanya kimaisha ujikwamue mzazi akawa wakwanza kukukatisha tamaa, lakini cha ajabu ukifanikiwa kwenye hilo, anataka aonekane yeye ndiye alikuwa mshauri wa kwanza na wakushukuriwa ni yeye.
Madingi wanafeli sanaUmeiona eh?
Mm nikito ushuhud hapa wa mzazi jinsia alivyo kichwa maji nitaonekana mkorofi. Wazaz wengine jau kweli yani
Ni kweliChangamoto ya afya akili ni kubwa sana
Ni kweli na kubaliHuyo Ni mchawi