Huyu mzee anamaliza kwa vitimbi sana maisha yake akiwa ikulu!

Huyu mzee anamaliza kwa vitimbi sana maisha yake akiwa ikulu!

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
20221017_080923.jpg

Pascal Mayalla
... hii uliwahi kukutana nayo kweli ?
 
Safi sana... huyu aligoma kwenda kumzika malkia akaenda ktk mkutano wa UN...

Mnangagwa yeye akaendelea na shughuli zake

Rais wa Ethiopia (mwanamama) aligoma kupanda basi hivyo hakwenda kumzika na kurejea kwao Ethiopia

Kila nchi na namna yake ya kushughulika na maswala yao

Ni kama wewe unavyo deal na familia yako, ni tofauti na kaka yako Au dada yako ata wazazi wako na majirani zako wanavyo deal na maswala ya familia zao
 
Safi sana... huyu aligoma kwenda kumzika malkia akaenda ktk mkutano wa UN...

Mnangagwa yeye akaendelea na shughuli zake

Rais wa Ethiopia (mwanamama) aligoma kupanda basi hivyo hakwenda kumzika na kurejea kwao Ethiopia

Kila nchi na namna yake ya kushughulika na maswala yao

Ni kama wewe unavyo deal na familia yako, ni tofauti na kaka yako Au dada yako ata wazazi wako na majirani zako wanavyo deal na maswala ya familia zao
Vipi mama yetu?
 
Back
Top Bottom