Utafikiri anamuhoji Putin
Ebola mzee
Ebola styleSo hii ndiyo afrikani staili?.
😁😁
Vipi mama yetu?Safi sana... huyu aligoma kwenda kumzika malkia akaenda ktk mkutano wa UN...
Mnangagwa yeye akaendelea na shughuli zake
Rais wa Ethiopia (mwanamama) aligoma kupanda basi hivyo hakwenda kumzika na kurejea kwao Ethiopia
Kila nchi na namna yake ya kushughulika na maswala yao
Ni kama wewe unavyo deal na familia yako, ni tofauti na kaka yako Au dada yako ata wazazi wako na majirani zako wanavyo deal na maswala ya familia zao
Aliruka chap ndani ya basi kuwahi Siti ya dirishaniVipi mama yetu?