Huyu mzee ananifanya nionekane chizi

Hata Mimi nikimuangalia huyu Mzee nacheka sana Kwa kutuingiza mkenge kiasi hiki na watu hawajashutuka mpaka kachukua nyumbani zote tatu.
 
Hahahahaahha ahh leo dokta leo kanichekesha... hapo katumwa kuharibu mnada... maana tangazo pale mwanzo kalisikia na bado babu kakomaa.. nasikia wameenda nae mpk bank ndo akasema hela itaingia kesho... naona saa hizi ananyea kidebe pale salenda....
Vip kesho ikiingia watanzania mutamtaka radhi mzee wa watu
 
Mnunuzi wa nyumba za Lugumi zilizopigwa mnada na Kampuni ya Yono Auction Mart kufidia deni la TRA, Dr.Luis Shika amekanusha vikali madai ya polisi kwamba alikusudia kufanya utapeli kwenye mnada wa uuzwaji wa nyumba hizo.

Dr.Shika ameshangaa polisi kumlisha maneno kwamba alitamka milioni 700, 800 na 900, wakati ukweli alitamka 900 lakini sio milioni. "Ni kweli nilipanga kununua nyumba zote tatu, na kwenye mnada nilitamka fedha 700, 800 na mwisho 900. Hakuna popote niliposema milioni 800 au milioni 900" Amesema Dr.Luis Shika aliyejipatia umaarufu siku za karibuni kutokana na sakati hilo.

View attachment 627513 huyu mzee ananifanya watu wanione labda naugua kichaa ndo sababu nacheka muda wote..
 
Haaaaaaaaaaaaaa kuna madada wakawa wanamzunguka wanampepea kwa kujua leo kimeeleweka sijui wana hali gan ssa hiv!
 
Unapohamia pahala unahitaji pahala pakukaa. Dr louis voice
 
Hamorapa!!!
 
Mzee kazi yake ilikua ni ku top up tuu. Ukitaja bei anaongeza juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…