Huyu mzee ananifanya nionekane chizi

Kumbe Dr. shika amekaa Urusi 30yrs, na aliomba laptop afanye internet banking pesa yake ipo Eco bank Kenya. Alifanya na akawaambia hiyo pesa itaingia within 48hrs. Dr. Yupo vzr, tatizo watanzania wanaangalia mavazi.
 
Ukihamia pahala utahitaji pahala pakukaaa..... Dr louis voice
 
Kumbe Dr. shika amekaa Urusi 30yrs, na aliomba laptop afanye internet banking pesa yake ipo Eco bank Kenya. Alifanya na akawaambia hiyo pesa itaingia within 48hrs. Dr. Yupo vzr, tatizo watanzania wanaangalia mavazi.
Hahahahaaa!
Kwa maana hiyo tusimbeze? [emoji23][emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti mia tisa itapendeza!!!

Ngachoka!!
 
Katika matukio yote huyu mzee kafungia mwaka kweli nchi ya maigizo mpaka wananchi wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…