Huyu mzee ananifanya nionekane chizi

Huyu mzee ananifanya nionekane chizi

Hivi mpaka sasa hamna anaemjua vizuri akatupa full story
IMG-20171111-WA0006.jpg
IMG-20171111-WA0007.jpg
 
Kumbe Dr. shika amekaa Urusi 30yrs, na aliomba laptop afanye internet banking pesa yake ipo Eco bank Kenya. Alifanya na akawaambia hiyo pesa itaingia within 48hrs. Dr. Yupo vzr, tatizo watanzania wanaangalia mavazi.
 
Ukihamia pahala utahitaji pahala pakukaaa..... Dr louis voice
 
Kumbe Dr. shika amekaa Urusi 30yrs, na aliomba laptop afanye internet banking pesa yake ipo Eco bank Kenya. Alifanya na akawaambia hiyo pesa itaingia within 48hrs. Dr. Yupo vzr, tatizo watanzania wanaangalia mavazi.
Hahahahaaa!
Kwa maana hiyo tusimbeze? [emoji23][emoji23]
 
Katika matukio yote huyu mzee kafungia mwaka kweli nchi ya maigizo mpaka wananchi wake
 
Back
Top Bottom