Huyu mzee simuelewi kabisaaa

Huyu mzee simuelewi kabisaaa

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
3,411
Reaction score
4,435
KING OF THE JUNGLE!
Nafyetukaa fyeeeeeeee kama mshale unaenda kwa kasi kumuua swala!!

Ebanaeeee
Huyu msuquma akipita tena itakua fedheha!!!

Kwanini anatuchukulia poa hivi?! Ebanaaaae huyu mzeee natamani hata nimtafune aseee anaendesha nchi kama anaendesa kiosk aseee..

Wasomi wanalia njaaaaa, kazi hakuna,life kitaa limekua gumu kama chuma cha puaaaa

Aseee wasomi nisaidieni mbona wakati wa kikwete kulikua na afadhali,? Alikua anaendesha vipi hili gurudumu?? Maana Mimi sielewiii nielewesheni huyu mzee kakwama wapi kwani
 
Back
Top Bottom