Huyu mzee Spurs watamuua

Huyu mzee Spurs watamuua

YonDu Udonta

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2016
Posts
723
Reaction score
569
Hii Ilikua jana kati ya Spurs vs Liver, SON alikosa bao moja la wazi mzee wa watu ikabidi apige magoti [emoji23][emoji23].

IMG_3687.JPG


IMG_3688.JPG
 
daaa mzee ana tactics za kibabe sanaaa Jana kumuingiza dogo mmoja Jina sijui tangatanga[emoji23][emoji23][emoji23]mpira wa kibabe hatare inafaa angepewa nchi aongoze tu

[emoji3][emoji3][emoji3]sema mkuu ile game ya jana walikua wanashinda maana chance kibao wamekosa, ndio ivoo mpira hautabiriki


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
[emoji3][emoji3][emoji3]sema mkuu ile game ya jana walikua wanashinda maana chance kibao wamekosa, ndio ivoo mpira hautabiriki


Sent from my iPhone using JamiiForums
Ile game walikuwa wanashinda tatizo wamecheza na liver
 
[emoji3][emoji3][emoji3]sema mkuu ile game ya jana walikua wanashinda maana chance kibao wamekosa, ndio ivoo mpira hautabiriki


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kama ni timu kukosa magoli tu, hata mwenzake aliyetimuliwa naye aliweza.
 
naamini liver wanatumia uchawi sio bure, sahv naanza kuikumbuka ile clip iliyosambaa ikimwonesha klopp akiwa kwa waganga mwishon mwa mwaka 2018...
 
naamini liver wanatumia uchawi sio bure, sahv naanza kuikumbuka ile clip iliyosambaa ikimwonesha klopp akiwa kwa waganga mwishon mwa mwaka 2018...
Mlianza na desemba hii hamchomoki mkaja na var kisha ikaja ww3 sasa mpo kwa uganga sasa sijui mtahamia wapi
 
Mlianza na desemba hii hamchomoki mkaja na var kisha ikaja ww3 sasa mpo kwa uganga sasa sijui mtahamia wapi

Wataamia kwenye Impeachment


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom