miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Hakuna uchawi.nimambo mazito hayaYaani imebidi niirudie tena. Kidogo nimeng'amua. Kwamba mzungu ni mshirikina. Hiyo pipe imeunganika inapelema juice straight mpk kwenye tumbo.. na wewe ukajibu mapigo. Yaani kumbe nyie muna nguvu za asili, sijui niwaite wachawi? Ama ndo hiyo Elimu dunia? Elimu ahera?[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Wewe ni mchawi[emoji23][emoji23]Hakuna uchawi.nimambo mazito haya
SawaWewe ni mchawi[emoji23][emoji23]
OkID ya kwanza ya litutumbwe imekula ban naona unataka na hii tena iteketezwe.
Enewei mtafute director wa movie za kichina mtengeneze movie kama zao za super powers
Msengeni wewe na mkeoAcha usenge
Muongo uyu jamaa😀 hakuna uchawi wa kijings hivoYaani imebidi niirudie tena. Kidogo nimeng'amua. Kwamba mzungu ni mshirikina. Hiyo pipe imeunganika inapelema juice straight mpk kwenye tumbo.. na wewe ukajibu mapigo. Yaani kumbe nyie muna nguvu za asili, sijui niwaite wachawi? Ama ndo hiyo Elimu dunia? Elimu ahera?[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Huna adabu..we jamaa natamani sana nikutukane vibaya mno, ila acha tu nijitunzie heshima yangu....
Yawezekana ndivyo maana sisi siyo wachawi tujue. Anataka kuturusha huyu tumuogope. Sasa nataka aniletee lunch ofisini hapa sasa hv ama maji ya kunywa[emoji23][emoji23] nataka niuone uchawi wakeMuongo uyu jamaa[emoji3] hakuna uchawi wa kijings hivo
Kwani mm nimesema ni uchawi?no si uchawiMuongo uyu jamaa[emoji3] hakuna uchawi wa kijings hivo
Hujui ulicho wishYawezekana ndivyo maana sisi siyo wachawi tujue. Anataka kuturusha huyu tumuogope. Sasa nataka aniletee lunch ofisini hapa sasa hv ama maji ya kunywa[emoji23][emoji23] nataka niuone uchawi wake
Kama sio uchawi ni bangiKwani mm nimesema ni uchawi?no si uchawi
😂😂Yawezekana ndivyo maana sisi siyo wachawi tujue. Anataka kuturusha huyu tumuogope. Sasa nataka aniletee lunch ofisini hapa sasa hv ama maji ya kunywa[emoji23][emoji23] nataka niuone uchawi wake
Hilo nijibu sahihi piaKama sio uchawi ni bangi
Leta hata maji ya kunywa kwa njia hizo2 mkuu. Nataka nione maujuzi.Hujui ulicho wish
Anarukaruka[emoji23][emoji23]