perky
JF-Expert Member
- Mar 22, 2022
- 286
- 459
Kwahyo mnamuabudu nani?Unataka kujiunga na kanisa letu? Utaweza? Ibada ni saa 6 nahuruhusiwi kuchelewa...
Ukija hutokufa,utaishi milele... ila si rahisi hivyo kujiunga km unavyofikiria ww
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahyo mnamuabudu nani?Unataka kujiunga na kanisa letu? Utaweza? Ibada ni saa 6 nahuruhusiwi kuchelewa...
Ukija hutokufa,utaishi milele... ila si rahisi hivyo kujiunga km unavyofikiria ww
Bangi mbichi zile hazijapukuchuliwa kabisaHizi bangi
Bangi mbichi zile hazijapukuchuliwa kabisa
Halafu Kuna Mbwa wa CCM Kuna mwaka walitaka kuifuta JF. Shenzi zaoAnapigasimu namuambia nipo home,akashangaa mno kwa sababukilikua kitendo cha dk2 tu.
Mungu Mkuu wa Israeli, muumba wa mbingu na nchi.Kwahyo mnamuabudu nani?
SawaBangi mbichi zile hazijapukuchuliwa kabisa
Aseme inapukuchuliwaje!Enhee!!, bangi inapukuchuliwa aje ??, tupe darsa.
Usichoelewa usikitukaneNashikia hospital ya mirembe imebdailishwa jina?
Na hao wagonjwa hapo wanamiliki smart phone sikuhizi?
SawaNimeishia kusoma kwenye comment uliyosema hii ni ilmu
Unatuchukuliaje
Karibu upewe kutokufa...Ndio kwanza mchana na kamvua kake
Daahhh siku itaisha kweli hii
Subiri tuone
Nataka nikuongoze ukapate kutokufa... au we unataka kufa?Kama mapipa
Halafu yeye ndio limfuniko[emoji23][emoji23][emoji23]
Tabia zenu za kulala njaa zinatuletea maluweluwe.Wadau habarini.kama kawaida yangu kuleta visa vyangu mbalimbali kwalengo la kujifunza na kuuaminisha umma juu ya mambo kadhawakadha
Ilikuwa ni Jumapili moja yamwzi april nilikua masaki na nilialikwa na mama mmoja Mzungu raia wa Marekani ambae alikua ni muumini mwenzangu kanisani
Sasa nafika alikua ameandaa chakula na nyama ilikuemo... baada ya kuongea kidogo alitakiwa akachukue mayonaizi jikoni kwenye refrigerator yakule...
Kuna mtoto wake dogo akawa anachukua zile nyama anakwenda kuficha kwenye chumba kingine mimi namchora tu
Yaani I think ilikua ni kama jokes kwao, amedekezwa mno... mara anachukua tena anazileta mezani...
Mama yake anasema tu wee fulani achaa ila kwa kiingereza...
Sasa yule mama akawa anapitisha juice tundu la pua OMG na kwenda tumboni... yaani ana pipe yake anaitumia kufanya hivo... na alifanya hivyo tukiwa wawili sasa...
Hio ni saa 11 hivi apo...
Nikajifanya kushtuka ila sikushtuka ataa kwa sabb hakuna kipya kwangu...
Nikajua tu ana nguvu za ziada
Nikaanza kumletea ukorofi as alinichukulia layman ...
Kwanza nikaibana ile pipe kwa macho yangu tu,akashtuka mpaka juice ikamwagika...
Hajatulia nikatazama juu ya ceiling..
Nikazikamata zile material maalum za ceiling na kuwa kama nazipenyua zitoke juu
Oooh Tutu not like that,akalalama mno
Basi kufikia apo kila mtu akawa amemjua mwenzake ni mtu waaina gani
Akawa anacheka tu,ceiling nilizikunja kunja baadae zikarudi kuwa sawa. Haya mambo utoambiwa nayeyote yule ni elimu pana mno...
Kwa kumsaprize wkati wa kuondoka nikapita ukutani kavu kavu mpaka nje...mpaka leohaamini kua ni mimi ameniganda mno awe karibu nami nimfundishe maarifa
Anapigasimu namuambia nipo home,akashangaa mno kwa sababukilikua kitendo cha dk2 tu.
Alikua anajiita litutumbwe, saivi ndo ivo, ngoja tuone atakuja na jina gani tena....Jamaa amekula chuma tayari[emoji23]