Huyu Mzungu kawatukana Waafrica?

Huyu Mzungu kawatukana Waafrica?

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Nimesikitika sana baada ya kusikia kauli ya mzungu mmoja anayefanya shughuli zake mkoani Arusha.

Alikuwa akiongea kuhusiana na umeme kukatika, maji na changamoto za miundombinu mingine akasema eti mambo hayo huwa yana reflect uwezo wa kufikiri wa viongozi.

Sasa nikawa najiuliza kuna uhusiano gani kati ya changamoto ya umeme na uwezo wa kufikiri wa viongozi wetu?
 
Nimesikitika sana baada ya kusikia kauli ya mzungu mmoja anayefanya shughuli zake mkoani Arusha.

Alikuwa akiongea kuhusiana na umeme kukatika, maji na changamoto za miundombinu mingine akasema eti mambo hayo huwa yana reflect uwezo wa kufikiri wa viongozi.

Sasa nikawa najiuliza kuna uhusiano gani kati ya changamoto ya umeme na uwezo wa kufikiri wa viongozi wetu?
Ulimrekodi?Kesi ya uhaini ingempendeza zaidi.
 
Ukweli mchungu, sisi tuna waduwanzi pale juu, ila anaeongozwa na mjinga ndio mjinga zaidi.

Watanzania sisi ni wajinga mnoo, ukipenda tuite mbumbu mzungu wa reli.
 
Kaongea ukweli tatizo likwapi
Tanzania imefanikiwa katika nini?
1. Maji ni 0
2. Umeme ni 0
3. Afya ni 0
4. Elimu ni 0
Halafu kuna viongozi wameenda nje wakiwa na msafara wa watu hadi wa bongo muvi.
Kukatika umeme maana yake ni uwezo mdogo wa viongozi wetu kufikiri
 
Hivi unapomsikia msanii Diamond Platinum anasema aliyekuwa waziri wa Nishati aliwapa kazi ya kutunga wimbo wa kusifia mambo ya huduma za umeme huku umeme unapatikana kwa shida unawaza nini kama siyo hayo aliyosema Mzungu wako?
 
Nimesikitika sana baada ya kusikia kauli ya mzungu mmoja anayefanya shughuli zake mkoani Arusha.

Alikuwa akiongea kuhusiana na umeme kukatika, maji na changamoto za miundombinu mingine akasema eti mambo hayo huwa yana reflect uwezo wa kufikiri wa viongozi.

Sasa nikawa najiuliza kuna uhusiano gani kati ya changamoto ya umeme na uwezo wa kufikiri wa viongozi wetu?
Wivu tu
 
Nimesikitika sana baada ya kusikia kauli ya mzungu mmoja anayefanya shughuli zake mkoani Arusha.

Alikuwa akiongea kuhusiana na umeme kukatika, maji na changamoto za miundombinu mingine akasema eti mambo hayo huwa yana reflect uwezo wa kufikiri wa viongozi.

Sasa nikawa najiuliza kuna uhusiano gani kati ya changamoto ya umeme na uwezo wa kufikiri wa viongozi wetu?
Ameongea ukweli
 
Back
Top Bottom