Huyu Nabii Geordavie ana utajiri kiasi gani? Ampa Paul Makonda Land Rover zaidi ya 10 huko jijini Arusha!

Na wewe kwa akili zako unadhani waumini ndio wanatoa hela hadi mtu anatajirika hivyo..kwanza kwa waumini gani aliyonao..
Jiongeze.
Point hii, ila sasa atajikaanga mwenyewe kwa mafuta yake kwa hiki anachokifanya soon or later
 
Hizi siyo Landrover; ni RANGE ROVER
Gari moja hapo haipungui million 200; usicheze na range!
 
Pesa zipo kwa waumini wajinga.
Hivi hawa watumishi wa Mungu wakishakuwa na mtaji wao huwa hawaruhusiwi kufanta investment? Waumini gani wanaoweza kumsababisha Mtumishi wa Mungu akatoa magari RANGEROVER 10, bila kuwa na mfumo mwingine wa peas inayotka nje ya waumini?

Huyu lazima atakuwa ana investment zingine ambazo huwa znamwingizia hela ya ziada.

Na sisi waumini nasi tunatakiwa kubadilia; tuache mtindo wa kuwa tunawategemeza kwa sadaka tu hawa watumishi wa Mungu. Tufike mahali tuwe tunawatengenezea investment au tunawashauri kufanya innvestment
 
Na bado kuna majibwa ukiyaambia hawa ni wasanii tu hakuna nabii hapo wanakomaaaa wanaweza hata kukuua , kimsingi wajinga ndio waliwao na ni mtaji kwa hawa wasanii uchwara.
 
Dili za utakatishaji pesa haramu usitishike
 
Kampa bure ?
 
Kampa bure ?
 
Baraka kutoka kwa Yesu hizo ni ndogo sana, ana mara 100 za hizo.
by the way , ni tamasha la Land Rover na si kwamba amempa.
 
mnaosema michango nasema bado hamna mnachojua kuhusu deals zinazofanywa nchini mwenu
 
We unadhani zimetoka wapi zaidi ya kwa wajinga?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…