Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Kwa utajiri alionao jamaa magari kwake ni vitu vidogo sana, kuhusu pesa anatoa wapi ni sadaka za waumini, ni staili ya mwamposa wao wanakutapeli huku umeridhika na unasema Ameen.
Uhakika wa kesho utakula nini huna mfukoni una elfu mbili tu ila unaitoa sadaka kwake unasema umeitoa kwa mungu
Uhakika wa kesho utakula nini huna mfukoni una elfu mbili tu ila unaitoa sadaka kwake unasema umeitoa kwa mungu