Idd Ninga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 5,497
- 4,775
Nilisikia ila sina hakika sana
naona ile tarehe inazungumzwa sana nyuma ya "kibodi" sa sijui kwani watu wanatetemeka tetemeka baridi wakati huu msimu ni masika lakini bado joto linasumbua.
acheni nibaki mbele ya tarakilishi kwanza huko kwingine tuna madereva wasiokuwa na leseni vizuri yani mnaanza safari halafu mkifika katikati ya mlima anazima gari na kuwaambia mteremke eti gari halina matairi vizuri.
baba mwenye nyumba na yeye kuna wakati anataka wapangaji tupike chakula anachopenda yeye na wapangaji tukimwambia kuwa tunahitaji kula nyama ye anataka tule maharage eti nyama zitafanya tuwe wanene tukanenepa.
Watu mpaka tunaogopa mbwa tulowafuga wenyewe sa si bora tukae mbali na tai maana wakisikia tu kuku wameangua na jogoo wamekuwa wakali basi tai huja kwenye banda kuwatetea vifaranga wasiliwe na mwewe.
shikamoo dada,sorry shikamoo baba.
naona ile tarehe inazungumzwa sana nyuma ya "kibodi" sa sijui kwani watu wanatetemeka tetemeka baridi wakati huu msimu ni masika lakini bado joto linasumbua.
acheni nibaki mbele ya tarakilishi kwanza huko kwingine tuna madereva wasiokuwa na leseni vizuri yani mnaanza safari halafu mkifika katikati ya mlima anazima gari na kuwaambia mteremke eti gari halina matairi vizuri.
baba mwenye nyumba na yeye kuna wakati anataka wapangaji tupike chakula anachopenda yeye na wapangaji tukimwambia kuwa tunahitaji kula nyama ye anataka tule maharage eti nyama zitafanya tuwe wanene tukanenepa.
Watu mpaka tunaogopa mbwa tulowafuga wenyewe sa si bora tukae mbali na tai maana wakisikia tu kuku wameangua na jogoo wamekuwa wakali basi tai huja kwenye banda kuwatetea vifaranga wasiliwe na mwewe.
shikamoo dada,sorry shikamoo baba.