Huyu Nay wa Mitego si amefungiwa,mbona jana amepafomu kwenye tamasha la mwendokasi?

Huyu Nay wa Mitego si amefungiwa,mbona jana amepafomu kwenye tamasha la mwendokasi?

samsun

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2014
Posts
7,386
Reaction score
5,965
Nisaidieni wakuu huyu Nay wa mitego si amefungiwa mbona jana kaburudisha kwenye shoo ya Mwendo kasi au mi ndio sielewi......tujuzane. Na ndio kwanza anasema anautengenezea video huo wimbo wake.

 
wale jamaa wa Basata hawana meno pia hawakusema kama wamemfungia asifanye Matamasha
 
Ukishangaa ya Dr. Mwaka na Foreplan Company Ltd (sio Foreplan Clinic plz!!!) utakuja kuyaona ya Nay wa Mitego na Pale Kati Patamu!
Kwenye macho ya sheria hivyo ni vitu viwili tofauti. Sheria inasema hivi

A company is a legal entinty/ person which has right to sue or being sued by using its name. A company business is different from the owner (they are two different things).

Kwa kiswahili tunaweza tafsiri kuwa,
Kampuni ni taasisi/mtu wa kisheria (siyo mtu halisi) ambaye/ambayo ina haki ya kushitaki na kushitakiwa kwa kutumia jina la kampuni na siyo jina la mmiliki.

Ikumbukwe sheria inasema pia, mmiliki na biashara za kampuni ni vitu viwili tofauti ndiyo maana kila mmoja atashitaki au kushitakiwa tofauti. Licha ya kuwa kuna wakati hulazimika mmiliki kuunganishwa na kampuni kama kutakuwa na haja ya kufanya hivyo (up lifting corporate vail).

Kwa mantiki hiyo ya kisheria, iliyofungiwa ni foreplan clinic na siyo foreplan company ltd au Juma mwaka in person.

Patamu hapo, lakini kama Nay wa Mitego amefungiwa yeye kama sole artist hivyo kufanya performance ni kosa kama ufungiwaji huo unamuhusu yeye na siyo wimbo tu. Sifahamu vizuri kuhusu issue ya Nay wa Mitego.

Wajuzi watajazia zaidi.
 
Hivi Inspector Harun kwa wimbo wake wa kumtukana Ney wa Mitego wakati wa kampeni mwaka jana amefungiwa? Au makada wa CCM hawakosei kwenye akili za wakubwa? Au ndiyo yale ya sisi watu weusi tunasema tunaonewa huku akina Snoopy Doggy Doggy kumtukana Trump ni sawa?
 
Kwenye macho ya sheria hivyo ni vitu viwili tofauti. Sheria inasema hivi

A company is a legal entinty/ person which has right to sue or being sued by using its name. A company business is different from the owner (they are two different things).

Kwa kiswahili tunaweza tafsiri kuwa,
Kampuni ni taasisi/mtu wa kisheria (siyo mtu halisi) ambaye/ambayo ina haki ya kushitaki na kushitakiwa kwa kutumia jina la kampuni na siyo jina la mmiliki.

Ikumbukwe sheria inasema pia, mmiliki na biashara za kampuni ni vitu viwili tofauti ndiyo maana kila mmoja atashitaki au kushitakiwa tofauti. Licha ya kuwa kuna wakati hulazimika mmiliki kuunganishwa na kampuni kama kutakuwa na haja ya kufanya hivyo (up lifting corporate vail).

Kwa mantiki hiyo ya kisheria, iliyofungiwa ni foreplan clinic na siyo foreplan company ltd au Juma mwaka in person.

Patamu hapo, lakini kama Nay wa Mitego amefungiwa yeye kama sole artist hivyo kufanya performance ni kosa kama ufungiwaji huo unamuhusu yeye na siyo wimbo tu. Sifahamu vizuri kuhusu issue ya Nay wa Mitego.

Wajuzi watajazia zaidi.
Ni veil na si vail
 
Pale kati patamu patamu patamu pale kati patamu bado inasikika redioni kila hadi leo
 
Hizi salam zangu ziwafikie basata hivi nyie ni kuku au bata msumeno usiokata kazi kufungia nyimbo mnajua shida tunazopata??
 
Ney Wa Mitego jana kwny exclusive interview na Millard Ayo kasema wameshamalizana na Basata. Kwahyo wimbo wake wa Pale kati patamu utaendelea km kawaida na utakuwa na version mbili. Na vile vile utakuwa na video nne.
 
Ney Wa Mitego jana kwny exclusive interview na Millard Ayo kasema wameshamalizana na Basata. Kwahyo wimbo wake wa Pale kati patamu utaendelea km kawaida na utakuwa na version mbili. Na vile vile utakuwa na video nne.
Hebu itupie hiyo video clip hapa.
 
Back
Top Bottom