Shishii babe mchezo!.haa haaa hadi kwa jide? gadna ana gari yake bana....ila yule sijui nuhu mziwanda eti kajichora hadi tatoo isiyofutika.....kijinga kweli kile kwa mapenzi gani hapa mjini!!!!
Duh..kweli Ezden alipotea njia.
kwan alishkiwa bastola? vjana hapa mjin weng wanapenda slop hujui mwanamke kauzia wapi kabang yake kapata hela we unaenda kuhamia kwake ukifka unataka kupanga mashart eti ni baba wkt unategemea umuombe kuendesha gar yake usubir akununulie mpaka boxer kifp unakuwa umeolewa inabd utlie v na ukizingua kandambil zako ulizokuja nazo zinarushwa nje unasepeshwa,taften hela acheni umarioo na kudandia wamama,km alineng'eneka akapata pesa unadhan kwa kumuoa atatulia lazma aendlee aloo
taratiiibu!Acha upuuzi we, jambo usilolijua ni kama usiku wa giza, unatumia vigezo gani kumwita mtu "anafugwa"..!? Ezden na Dida wameanza uhusiano zamani sana kabla hata hajamiliki hayo magari.
Dogo bana nakumbuka kipindi flan nimekaa nae Mwanza... Cjui hajitambui au ndo umarioo... Yani alivyo watoto wa mjini wanaita "swag".. Jamaa hana nyodo ni mtu wa kujichanganya lakn ndo very addicted to over age & big mamas
Weka picha ya Dida tumuone.
taratiiibu!
Zamani hiyo IPI?
Akiwa did a wa G
Au akiwa dida wa mchops?.
Kamrekodi akiwa anarap !
Enhennhenh siku hiz simu zina kazi nyiiiiiiiingi!
Dida ana "ujimama" gani kwa Ezden? mnatumia vigezo gani kumwita Ezden dogo?
Saaasa kama alikubali kuwa nyumba ndogo analia Lia nini kweny media?Mengine ni personal issues ila elewa wameanza uhusiano zamani sana tu na huyohuyo Dida ndo alikua akimfuata Ze Rocka Mwanza.
Hapa kipindi wanafunga ndoa na Ezden... Mahaba nigalagaze!!
Kweli bana!
Maana huwa haziulizagi vyeti vya kuzaliwa zile ndude!
mbona hizi picha zilitokaga vibaya hivi?
Hahahaa..itabidi nikutafue, ushanifanya niluz conc.