mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,554
- 4,271
- Thread starter
-
- #221
Ni mitazamo lakini. Kuna jamaa yangu alimuoa mkewe baada ya mwanamke kumtegeshea siku za tarehe mbaya. Baada ya kushika mimba jamaa alifanya haraka sana ndoa ikafungwa kabla mimba haijawa kubwa.
Umesema ana uwezo na anakuhudumia, nakushauri beba mimba. Inawezekana umri wako bado unaruhusu kuchagua wanaume na kuwaringia ringia ukiweka misimamo yako. Ila kama huyo jamaa utamkatalia na yeye alitaka ajiridhishe na ukamilifu wako kwenye uzazi, siku akikata kamba unaweza mtafuta kwa tochi mwanaume mwingine wa kukuambia beba mimbi ili nikuoe na usimpate.
Siku hizi ninaona vijana wengi sana wanaoa mwanamke akiwa tayari ni mjamzito. Wadada wengi husema kama wewe kuwa hadi anioe ndio nibebe mimba. Ila kimsingi hakuna tofauti kuolewa ukiwa na mimba na ukiwa fresh. Wadada wengi hupenda kutoonekana na matumbo siku ya harusi. Kwa maana nyingine wanataka kujiachia siku hio. Ila kuna wadada nawaona wengi tu huolewa na mimba zao na ndoa huwa tam tu.
Sisi ni washauri tu. Maamuzi ni yako
Hivi unajua ni ngumu kumsikiliza mtu namna hiyo et akupe mimba ndio muoane
Mimi najua wengi hutokea bila kutarajia ndio wanafanya haraka haraka kuoana sio hii ya kupanga kabisaa