Hivi kweli mengi ni tajiri?
Tuache ushabiki sema ana miliki nini (apart from ipp media na bonite)
na vitu vyake ni %ngapi kwenye market.
Ananipa wasiwasi.
Huyo Mengi ni mpenda sifa kama Mohamed Dewji. Wako ladhi kudanganya mradi wauze majina. Ukitaka kujua kama ni matajiri kweli nenda TRA ukaangalie taarifa zao za ulipaji kodi.
Mengi kila mwaka anapeleka taarifa za makampuni yake kupata hasara ili apewe misamaha ya kodi sasa huo utajiri kautoa wapi?
MELT ni kampuni ya Mzee Gulam baba wa Mohamed sasa huo utajiri inakuaje waseme tajiri ni mtoto wakati baba mwenye mali yuko hai? Si wasubiri afe mtoto arithi mali ndo waje na upuuzi wao?
Bongo tajiri wa ukweli ni mmoja tu Bakresa. Hao wengine matapeli tu wako kwenye mitandao ya kifisadi wanafilisi nchi.
Huyo Mengi ni mpenda sifa kama Mohamed Dewji. Wako ladhi kudanganya mradi wauze majina. Ukitaka kujua kama ni matajiri kweli nenda TRA ukaangalie taarifa zao za ulipaji kodi.
Mengi kila mwaka anapeleka taarifa za makampuni yake kupata hasara ili apewe misamaha ya kodi sasa huo utajiri kautoa wapi?
MELT ni kampuni ya Mzee Gulam baba wa Mohamed sasa huo utajiri inakuaje waseme tajiri ni mtoto wakati baba mwenye mali yuko hai? Si wasubiri afe mtoto arithi mali ndo waje na upuuzi wao?
Bongo tajiri wa ukweli ni mmoja tu Bakresa. Hao wengine matapeli tu wako kwenye mitandao ya kifisadi wanafilisi nchi.
Hakika mkuu,umenena kweli kabisa tuna safari ndefu ya kwenda Wtz hasa ktk suala la ukusanyaji wa kodi mfanyakazi wa serikali analipa mpaka sh.79000 kwa mshahara wa laki 700000 lakini tajiri mkubwa anayekusanya kipato cha zaidi ya milion 500 kwa mwezi analipa kiasi kidogo kabisa au wakati mwingine anasamehewa halipi kabisa!
Chuki binafsi hizo,basi wewe ndo TAJIRI sawa????
1.The history of ITV, the United Kingdom "Independent Television" commercial network, goes back to 1954.Kila siku unaangalia Taarifa ya habari ITV,unasikiliza Radio One,Unakunywa Cocacola nk bado tu unataka viandikwe Reginald Mengi ndio ujue yuko kwenye soko!!!
Nani tajiri zaidi ya mwenzake kati ya Mohammed Gulam Dewji na Gulam Mohammed Dewji. Hawa watu ni mtu na mtoto wake. Mtoto ni CEO wa METL na Baba ni Chairman wa METL. Watafiti wanatuchanganya kila kukicha, leo watasema Mohamedi ni tajiri na kesho wanasema Gulam ni tajiri lakini mali inayozungumziwa ni ile ile makampuni ya METL.
hahresa amewekeza nchi nyingi lakini amewekeza kwenye mali zinazouzwa kwa bei ya chini. ndio maana anazidiwa mbali sana na rostam hata na mengi. all in all, kati ya wote matajiri tz hakuna hata mmoja ambaye sio zurumati na fisadi, ila wanazidiana tu. na ni wachawi wanalala kuzimuHiyo ni kutafuta sifa tuu ukweli ni kuwa Bakhresa ndiye tajiri namba 1 tanzania.Amewekeza msumbiji,malawi,rwanda,uganda burundi na muda sii mrefu atafungua viwanda kenya.Bakhresa anatoa ajira zinazoonekana,bidhaa zinazotomika kila siku,kodi analipa hana madeni bank za ndani.Wakati METL ndiye mdaiwa mkubwa stanbic,ana viwanda alipewa PSRC mpaka leo hajaviendeleza amefanya goodown
1.The history of ITV, the United Kingdom "Independent Television" commercial network, goes back to 1954.
2.Radio 1 was established in 1967 (along with its somewhat more adult-oriented counterpart, BBC Radio 2)
3.Coca cola The company is best known for its flagship product Coca-Cola, invented in 1886 by pharmacist John Stith Pemberton in Columbus, Georgia
Mkuu sasa huyu Mangi ni dalali/au msanii?
Huyo Mengi ni mpenda sifa kama Mohamed Dewji. Wako ladhi kudanganya mradi wauze majina. Ukitaka kujua kama ni matajiri kweli nenda TRA ukaangalie taarifa zao za ulipaji kodi.
Mengi kila mwaka anapeleka taarifa za makampuni yake kupata hasara ili apewe misamaha ya kodi sasa huo utajiri kautoa wapi?
MELT ni kampuni ya Mzee Gulam baba wa Mohamed sasa huo utajiri inakuaje waseme tajiri ni mtoto wakati baba mwenye mali yuko hai? Si wasubiri afe mtoto arithi mali ndo waje na upuuzi wao?
Bongo tajiri wa ukweli ni mmoja tu Bakresa. Hao wengine matapeli tu wako kwenye mitandao ya kifisadi wanafilisi nchi.
yaani nilikuwa nategemea badala ya kumtaja fida husein ungemtaja hata shubat patel ambaye ni tajiri sana na hajitangazi. fida yuko nyuma sana ya hao wengine. umenikumbusha bank M ambayo ni bank ya mafisadi tu na wamiliki wake wote ni mafisadi....idi simba pia ana hisa nyingi na ni mkurugenzi mmoja wapo, mkono, na mafisadi wengine wote wana hisa pale. kile ni kichaka ugopa.Huyu Mo ni mtu wa misifa tu.
Mikopo aloyochukua na bado kulipa ni zaidi ya Assets zake.
Shughuli zake zote ni mikopo ya benki.
Magari ya mkopo na capital ni mikopo.
Ukweli tajiri mkubwa ni bakhressa akifuatiwa kwa karibu na Fidahussein.
Huyu fidahussein hana masifa ila amejiimarisha kuanzia Affricarriers na sasa ana Assets za property zaidi ya 500 zote bila mikopo.
Assts zake ni pamoja Double tree Hilton 2 dar es salaam na 2 Zanzibar
Nyungime ni Pearl residency na marina
Kwa ufupi ana assets zaidi ya 500 zote katika maeneo muhimu ya TZ.
Kodi kwenye hizi assets anaingiza wastani wa $ 1m kwa mwezi mbali ya share Maxinsure na Bank M
Lakini huwezi kumuona kwenye vigazeti ambavyo hawafanyi utafiti sawa sawa bali mtu anavojikomba