Huyu ndie bilionea namba moja Tanzania

Nikiangalia account yangu bado sh 4500 tu na mimi niwemo kweny top10 ya africa
Jiandaen kuudiscus utajir Wangu 2015 kwann kila Sikh waoo
 


Biashara gani anayoifanya huyo inayolipza kuliko bashara za Bakhresa, kama ni vyombo vya habari digteck kimeanza mda mrefu mpaka leo hakijafika popote wakati king'amuzi cha azam kimesambaa nchi nzima na nchi za jirani. Kwenye madini tunaambiwa hamna faida ni hasara ndio maana kodi haikusanywi. Kwa bongo mfanya biashara tunaemuona ni Bakhresa hao wengine biashara za kumzidi bakharesa hatuzioni labda kama ni zile zisizoruhusiwa.
 

Jomba umechemka aseh...........
Hivi kampuni ya IPP ni ndogo hivyo kwa jinsi ulivyoichambua????

Na vp kuhusu hz kampuni za vinywaji baridi??? cocacola.. Fanta.. N.k.

Tv... Radio.. Magazeti.......
Maji ya kunywa..... Madini.... N.k
 
Mi naona mtuulize wenyewe nani tajiri zaidi kati yetu maanake sisi kwa sisi tunajijua i nlikuwa najua mzee wangu ndo kidume(simtaji jina) akaniambia achana na bakhressaa sio mchezo mi mwenyewe nikachokaa
 

Wapenda kulakula wala hawajifichi.

Kunywa juisi dogo. Kula sana maandazi. Ukishashiba utaendelea kupata uelewa.
 
Jomba umechemka aseh...........
Hivi kampuni ya IPP ni ndogo hivyo kwa jinsi ulivyoichambua????

Na vp kuhusu hz kampuni za vinywaji baridi??? cocacola.. Fanta.. N.k.

Tv... Radio.. Magazeti.......
Maji ya kunywa..... Madini.... N.k


Madini hayalipi kihivyo ndio maana hata kodi ya kwenye madini haionekani. Coca/Fanta faida kubwa inaenda kwa wenye formula. Kwenye vyombo vya habari na SSB kashaingia tena kwa kasi. Akina Contenental/digteck wanasema mtaji ndo kikwazo cha kusambaa nchi nzima. Bado sijaona uwekezaji kwa wa Bakhresa kwa matajili wetu, bakhresa ukienda malawi unamkuta, ukienda rwanda yupo, msumbiji yupo. uganda yupo bado tu? Hao akina rostam uwekezaji wao uko wapi?
 
Napata shida kidogo na kiwango chako cha elimu kwa hiki ulichokiandika,una chuki binafsi nadhani wewe ni team MUHONGO!!
 
Jaman bharesa ni milioneare so kausheni mo ni tajiri wacha mashamba yote ya katani mali yake baresa mjinga tuu umri mkubwaaa mafanikio ziro
 
Huyu dewji nae sie huyu
ni msaniii
shughuli zake hazieleweki ni mwana siasa?
Vitu alivyochukua psrc mbona viko vilevile?
huyu nakataaa sio tajiri.ni mpenda sifa

Wauza unga, wanaingia kwenye siasa kwa kutaka nini? Kuibia serikali au kutumia mgongo wa nafasi za madaka yao wakwepe kodi? Bakhresa ndio tajiri wa kweli tanzania ambaye mwenye sifa zote na vigezo vyote, mpemba huyu Allaah amuongezee
 
Ni bongo tu ambapo kuna mabilionea in USD ambao HAWAJAWAHI KUWAMO KWENYE ORODHA YA WALIPA KODI BORA, SIO WAO BINAFSI WALA MAKAMPUNI YAO!

Kama tutafanya thamani ya utajiri wao walivyo uchuma zaidi ya nusu ya mali zao ni kodi ambazo hawajalipa, hapa bakhresa tu ndio mlipa kodi na biashara yake yenye kuonekana. Hao rostam azziz wezi tu.
 
Mwenye mali ni Gulam Dewji, baba lakini media imemkweza mtoto. Lakini kwa Tanzania ni vigumu kumfahamu tajiri kwa vile vitabu na mahesabu yao ni kughushi tupu. Hayawekwi wazi. Kwa makampuni ya wenzetu nje ya nchi hata hapa karibu Kenya ni rahisi kufahamu utajiri wa mtu. Kinachofanyika, waandishi wa majarida hayo hupigwa pesa na kuanza kuwapamba hao wanaowaita mabilionea.
 
kiwanda cha COTEX ambapo vfungashio vyote anauza na matenk na white dent na kiwanda cha madawa cha shelys phamasitical, vyombo vya ndani kama sufulia n.k na vipodozi vngi tu vyote ni IPP.
 
Wewe jamaa umeniwah tu kusema yaani nimewaza hivyo hvyo.
Utafikir uliingia kichwani mwangu yaani.
 
kiwanda cha COTEX ambapo vfungashio vyote anauza na matenk na white dent na kiwanda cha madawa cha shelys phamasitical, vyombo vya ndani kama sufulia n.k na vipodozi vngi tu vyote ni IPP.
Sio kweli hvyo viwanda ulivyotaja ni vya wahindi ndio wamiliki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…