Huyu ndie kiumbe anayefaidi mapenzi Duniani wengine wote mbwembwe tu.

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
2,536
Reaction score
4,621
Hapo vip!!

Leo katika pita pita zangu nikawakuta watu wanashangaa mbwa wawili walionatiana tokea asubuhi mpaka jioni.

Duh!!nikagindua Katika wanyama wote anayefaidi penzi sana ni mbwa,wengine wote mbwembwe tu mapenzi tumuachie mbwa.

Hivi kuna mnyama mwingine anayemzidi mbwa kwa kufanya mapenzi kwa muda mrefu?
 
Kwenye kichwa cha habari kina neno "mapenzi", lakin post ni about sex(tena animal sex).

Kuna tofauti kubwa kati ya mapenz na sex.
wanyama kama mbwa wanafanya sex,na hayo si mapenzi.

Wanadamu tuna mapenzi, mtu kumpenda mwenzie,kwa wanadamu sex iko ndani ya mapenzi. mwanadam si kama hao mbwa uliowasifia.
 
Ipi tofauti kati ya mapenzi na sex
 
Sokwe ndiye mnyama anayesikia utamu wa mapenzi kuliko mnyama yeyote yule hasa sokwe jike. Sokwe jike akifanya ngono utamu wake anausikilizia kwa masaa 5-6, na baada ya hapo anaweza asiwe na hamu tena ya kufanya mapenzi kwa miezi mingine 6. Baada ya kufanya ngono hutafuta sehemu iliyotulia autafakari utamu huo kwa hayo masaa
 
Mnyama mwingine ni simba, wao huamua kujitenga wawili kwa muda wa siku kama tano hivi, kwa siku tatu za mwanzo dume hula mzigo kila baada ya dakika 15, so mara nne kila saa kwa siku tatu za mwanzo baada ya siku ya tatu intavali hupungua. Kwa kipindi chote hicho wanajitenga na Pride na pia hawawindi
 
[emoji1][emoji23] mtoa mada unazingua yaani mm nawaza na kuumiza kichwa kutafuta engineer uingereza aje kunijengea ghorofa la thamani ya bilioni 2 halafu wewe unawaza kuhusu mbwa kufanya mapenzi....
 
Vip unakunywa pombe gani hapo ulipo kwasababu mimi kwenye thread yangu sijatumia neno la kingereza (sex).. Sasa embu tuambie sex kwa kiswahili inaitwaje?na mapenzi kwa kingereza inaitwa je?
 
[emoji1][emoji23] mtoa mada unazingua yaani mm nawaza na kuumiza kichwa kutafuta engineer uingereza aje kunijengea ghorofa la thamani ya bilioni 2 halafu wewe unawaza kuhusu mbwa kufanya mapenzi....
Ongera!but hili sio jukwaa la ujenzi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…