Sharobaro la jf
JF-Expert Member
- Apr 23, 2020
- 237
- 325
Toka nimejiunga humu ndani nimetokea kumkubari sana, ledada kutokana na misimamo yake, na naweza kusema mimi ni shabiki wake wa kutupwa.
Na hauniambii kitu kuhusu ledada wa humu jf, wewe unamkubari dada gni wa humu jf na kwanini unamkubari???
Na hauniambii kitu kuhusu ledada wa humu jf, wewe unamkubari dada gni wa humu jf na kwanini unamkubari???