Kukaja Kununu
JF-Expert Member
- Mar 27, 2017
- 1,077
- 1,208
Unapendwa
Huyu ni member wa muda mrefu na sidhani kama hajui anatudere tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni member wa muda mrefu na sidhani kama hajui anatudere tu
Shiro na Sharobaro wa JF. Haki ya nani sipati picha [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji870][emoji870][emoji870][emoji870][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]ledada [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hilo limepita,Mwezi mrukufu huu. Punguza kuwakosoa wana
🤣🤣🤣🤣🤣
Shiro na Sharobaro wa JF. Haki ya nani sipati picha [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji870][emoji870][emoji870][emoji870][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
we daaHizaa budda, mimi sikufahamu njoo pole pole. Uwe na jioni njema
Bratheee na wewe unanichoma🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Shiro na Sharobaro wa JF. Haki ya nani sipati picha [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji870][emoji870][emoji870][emoji870][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Bee daawe daa
le sista ukuje unaitwa
Mkuu muda mrefu umekuwa hutoi analysis za soka kama tulivyokuzoea kulikoni!
Hata mikakati vyama vya soka mbali mbali duniani jinsi vilivyojipanga baada ya hili janga la kusimama kwa ligi maana kifedha vimeathirika kwa kiasi kikubwaMpira umesimama mkuu hakuna mapya
Ume misiiBee daa
Hata mikakati vyama vya soka mbali mbali duniani jinsi vilivyojipanga baada ya hili janga la kusimama kwa ligi maana kifedha vimeathirika kwa kiasi kikubwa
Na bei za wachezaji zimeshuka mno. Corona imepiga kila kona
Mi najua hizi unazo ndo maana nataka uzilete hapa!