Huyu ndie mzee makamba original!!!

Huyu ndie mzee makamba original!!!

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
MZEE NJO CHUKUA DAR ES SALAAM BANA TUMEPEWA MKUU WA MKOA HATA KUONGEA NA WANAWE ANAONA AIBU

download+(36).jpg
 
Kulia nani uliza??
 
Mzee wetu kiujumla tumekumissi sana natamani nione ulipo nije kukusalimia mpwa
kijana umemrithisha yale tuliotarajia natumaini atorudi nyuma
 
Mzee Makamba anakula bata tu siku hizi ,juzi yeye na mama January walikuwa wanamkabidhi Mwanvita kasili lake hapo DSM!!
 
mbona mtoto anaonekana kuweza siasa kuliko baba maana mzee ilikuwa ni vichekesho
 
Mtoto anarekebisha makosa ya baba yake maana anayajua makosa yake yoote ukizingatia suala la shule pia baba hakufunua makaratasi kwa kiwango cha juu kama dogo!!
 
Philip Mangula On right hand...Mtaalam wetu....wa sisimizi....India.
 
Mbona nyie washamba wa lugha, kweni kumpumzika ni kufa tu..........
 
hivi Adidas wanawa supply CCM na hizi tracksuits? Hatari sana!
 
Back
Top Bottom