Rais wa Tanzania bado analetwa na Mungu noti hata Lowassa alikuwa nazoNilipenda utaratibu wa CCM kuandaa viongozi kabla ya muda.
Miaka hii hakuna kuandaana ni kuandaa noti tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais wa Tanzania bado analetwa na Mungu noti hata Lowassa alikuwa nazoNilipenda utaratibu wa CCM kuandaa viongozi kabla ya muda.
Miaka hii hakuna kuandaana ni kuandaa noti tu.
Asante kwa maoni yako lakini unaona au kusikia wanachofanyiwa wanaoletwa na Mungu.Rais wa Tanzania bado analetwa na Mungu noti hata Lowassa alikuwa nazo
Betina ndio nani?Zaidi sana watanzania wataona sio sahihi kuwa na rais mwanamke mfululizo kwakuwa bado mfumo dume upo na unanguvu hata kama hauonekani.
Betina,out
Kama nani kafanyiwa nini?Asante kwa maoni yako lakini unaona au kusikia wanachofanyiwa wanaoletwa na Mungu.
Betina!Betina ndio nani?
1. Makamba ni mkatolikiKwani Makamba ni Mkatoliki?
Mambo ya ndoa nadhani hata Mkapa na Magufuli yaliwashinda still walikuwa Viongozi wazuri tu.
Mtu kama anauwezo sio sawa kumuhukumu kwa maamuzi ya mwenza wake.
fisadi makamba sio mkatoliki, ni mchawi.1. Makamba ni mkatoliki
2. Mkapa aliingia ikulu na mke wa ndoa tena mzuri tu.
3. Ina maana wewe humfahamu Janet almaaruf mama Jesca,?
SawaKwa upande wangu Makonda atafaa sana
Sikuwahi kujua kama Makamba ni Mkristo Mkatoliki,Asante kwa taarifa1. Makamba ni mkatoliki
2. Mkapa aliingia ikulu na mke wa ndoa tena mzuri tu.
3. Ina maana wewe humfahamu Janet almaaruf mama Jesca,?
Ndoa sio kigezoSikuwahi kujua kama Makamba ni Mkristo Mkatoliki,Asante kwa taarifa
Sasa Mwanamke akikutaa na akakupa talaka wewe unafanyaje?
Mambo ya ndoa Yana mambo mengi ndani yake,
Msitupoteze kipropaganda, Rais tunambadili 2025 ndio kuna uchaguzi. Mnapotaja 2030 ni kama vile tayari tunaye Rais 2025 wakati hatuna bado!Mwigulu na Mwinyi ni wakatoliki?
Wakatoliki ni hawa,
Bashungwa
Jerry Silaa
Kafulila
Tundu Lissu
Makonda
Makonda awe raisi wa nchi? Huu utani mbaya.Mpango
Makonda
Lissu
Kafulila
Awamu ijayo yenu wakatoliki kwani umeskia nchi hii ni hati miliki ya VATICAN??Kwakweli awamu ijayo yetu wakatoliki
Kwani awamu ya waisilamu si ni hii!!Awamu ijayo yenu wakatoliki kwani umeskia nchi hii ni hati miliki ya VATICAN??
KUTAKA KUONGOZA NA KUIBA TUH,WAKATI UHURU UNAPIGANIWA NCHI HII NA WAISLAM AAAH WALA HAMKUONA HILO,MLIKALIA KULA ZENU KITI MOTO TUH
Nyie watu hamjui mambo kabisaa....Yaani ile sanaa anayofanya Silaa ndio mmeshaona awe Rais?? hivi mmefika jimbo la Ukonga liko hoi taabaniJerry
Kafulila
Ufisadi kwishaaaaa
Labda namba 3 the rest ni matatizoNawatajia Rais ajae,
1. Mwigulu
2. Kafulila
3. Dkt Mwinyi
Takbiiiiirrrr.......haina haja ya povu...Awamu ijayo yenu wakatoliki kwani umeskia nchi hii ni hati miliki ya VATICAN??
KUTAKA KUONGOZA NA KUIBA TUH,WAKATI UHURU UNAPIGANIWA NCHI HII NA WAISLAM AAAH WALA HAMKUONA HILO,MLIKALIA KULA ZENU KITI MOTO TUH