Huyu ndie Rais wa 2030 anayetafutwa

Kama ni Wakatoliki chukueni hawa,
January,
Kafulila
Makonda
Bashungwa
Mpango
Mavunde
Kama ni Wakatoliki chukueni hawa,
January ****Sio Mkatoliki
Kafulila****hana mke
Makonda****Mpigaji
Bashungwa****Sio Raia
Mpango****Uzeee
Mavunde***Bado sana
 
Kama ni Wakatoliki chukueni hawa,
January ****Sio Mkatoliki
Kafulila****hana mke
Makonda****Mpigaji
Bashungwa****Sio Raia
Mpango****Uzeee
Mavunde***Bado sana
Kwani IKULU mwanamke anakazi gani?
 
Kama ni Wakatoliki chukueni hawa,
January ****Sio Mkatoliki
Kafulila****hana mke
Makonda****Mpigaji
Bashungwa****Sio Raia
Mpango****Uzeee
Mavunde***Bado sana
Kwani IKULU mwanamke anakazi gani?
 
Mtoa mada mada nakubaliana na wewe lakini kwa bahati mbaya Tanzania hii ilivyokuwa ya hovyo yamkini haitazingatiwa sifa hata moja kati ya zote hizo.
 
Mtoa mada mada nakubaliana na wewe lakini kwa bahati mbaya Tanzania hii ilivyokuwa ya hovyo yamkini haitazingatiwa sifa hata moja kati ya zote hizo.
Nani hatazingatia na wakati maamuzi ni ya Wananchi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…