Huyu ndie Rais wa 2030 anayetafutwa

Kwani 2025 Kuna Uchaguzi?
Najua nyie IDs mpya mnaokuja humu no "MIUNGU" na hatma ya huyo mmeshaiandika kuwa ndie na mmesahau mtangulizi wake alijiamini kuliko hata huyo na Sasa hayupo!!!

Huwa tunamkosea sana Mungu Kwa ujinga wetu,

Sasa kama uchaguzi hamna "mapicha kwenye mgawo wa pikipiki na bajaji plus baiskeli ya nini"!!?

Mnahatarisha Sana usalama wa mhusika kiroho,mnashindwa kuonyesha unyenyekevu was maombi na kumshauri mazuri mnaishia kuwa chawa kama Mataga kipindi Cha jiwe!!!?

So sad
 
Fo
Formalities tu
 
Hoja Namba Moja nimeipenda hata mimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…