Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
mkuu maneno yako ni zaidi ya ubunge nduguyangu mungu akubariki la maana usiache kuomba aijalishi unasali kwa dini gani mungu anasikia haja za mioyo yetu mwombe mungu afichue uchafu wa nchi hii hata hao samaki nipe wiki kuna siri nkubwa wameingizwa na kigoogo mmoja serikalini na sasa anajiandaa kwa hali na mali kzuiba midomo watu na kupoteza ushahdi..lakini mungu alie hai akika atoacha kuiumbua wachafu wote wanaotafuna haki zetu na watoto wetu
soma 2kor 2:14 huu ni zaidi ya msumari
P didy huyu kigogo kwa nini ameagiza samaki japani ili hali kuna miali ya hatari na dunia nzima inalijua hili? samaki wameisha ziwa victoria, nyasa na tanganyika? nia yake ni kutuua au laba kulikuwa na madawa kwenye hayo mabox?au anataka kutuua