Huyu ndio Alikuwa Profesa Kabudi wa Kweli. Hili Toleo la Pili ni Utata

Huyu ndio Alikuwa Profesa Kabudi wa Kweli. Hili Toleo la Pili ni Utata

Hapo zamani za kale alikuwepo Profesa mahiri na msema kweli.

Aliwahi kuzungumza ukweli kuhusu Tanganyika na kuwa ipatikane sasa kwa hiari isisubiri kama yule Rais wa Romania.
View attachment 2984444

Profesa anaanikwa hadharani na stori zake, teknolojia haidanganyi digital footprint ya profesa
 
Heshima inajengwa kwa muda mrefu sana lakini kuibomoa ni suala la dakika 0 tu. Huyu mzee binafsi nilishamdharau kitambo sana
Hilo zee lilivyokuwa la hovyo lilidhani Magufuli hawezi kufa, likatutaka watu tukae kimya kwa mheshimiwa mungu Magufuli.

Akaendelea kutuona wote ni wajinga wenzake eti alipokuwa UN New York katibu mkuu wa UN ndio alikuwa anahangaika kuomba appointment ya kuonana na Kabudi, liongo sana hili zee.
 
Back
Top Bottom